MATANGAZO YA KANISA LUGALO 11/04/2015
1.UKARIBISHO: Tunawakaribisha wageni na
wenyeji wote katika Ibada takatifu ya leo
2.WAHUDUMU
WA LEO TRH11/04/2015
NAFASI
|
LUGALO
|
Mhubiri
|
Furaha
Luhambati
|
M/Kiti
|
Ambakisye
Lwesye
|
F/ Kuu
|
Kalebu
Waigama
|
Sadaka
|
Michael
Nyachiel
|
3) MASHEMASI WA ZAMU 11/04/2015
Goglive
Charles
|
Habiba
Magoma
|
Yusuph
Shedura
|
Paulo
Masero
|
4)WAHUDUMU WA WATOTO 11/04/2015
NAFASI
|
JINA
|
Mhubiri
|
Edson
Ngalla
|
M/kiti
|
Clara
Ambakisye
|
F/ kuu
|
Flora
Kenedy
|
Sadaka
|
Rahel
Mathayo
|
4) MATANGAZO YA
KANISA
a).Maombi ya kila siku
J,pili Alfajiri yanaendelea, Jumapili
Saa 11:30 -12:00 Asubuhi kipindi hicho cha maombi kitaongozwa na. Marwa
Musabi.
b) Usomaji wa Biblia
kwa Mpango unaendelea na wiki hii
tunasoma kitabu cha 2Kor 12- Wag
6.
c) Makamati ya Makambi ya
Kanisa ya Mwaka 2015 Inaombwa kukutana chini ya M/kiti wa Matrida Charles leo
mara tu ya Ibada.
d) Chama ya Dorkasi
Kinawakumbusha Washiriki wanaohitaji Kuweka Order ya chakula kila sabato
wamuone Matrida Charles Kabla ya Jumatano.
e ) Kanisa kupitia idara ya Mawasiliano
ya Kanisa imefungua Mitandao ya Kijamii ambayo iko wazi kuanzia sasa kila mtu
anaombwa kupitia kwenye ubao wa matangazo Kupata maelekezo.
f) Semina ya malezi ya kiroho
kwa Washiriki itafanyika Kanisani Kunduchi Kesho tarehe 12/4/2015 kuanzia saa
3:00 Ashubuhi wahusika ni:- Wazee wa Kanisa, Karani Kanisa, Wahazini, Mashemasi
wakuu na Usikivu.
g) Kanisa Litakuwa na Kikao
chake cha Kwanza robo hii ya pili cha Mashauri
ya Kanisa Tarehe 19/04/2015 Jumapili
kuanzia Saa 6:00Mchana Washiriki
wote tunaalikwa. Agenda ni:-
1. Kupitisha Budget ya
Kanisa ya Mwaka 2015.
2. Kupitisha
Mipango ya Ujenzi wa Kanisa.
3. Kupitia Uhai wa washiki
wa Kanisa.
Pia Tunapokea Agenda Binafsi
kutoka Washiriki mwenye Agenda Awasilishe Karani wa Kanisa.
h) Kwaya Kanisa itakwenda
kurekodi AUDIO ya Wimbo wa Albino Siku ya Jumapili tarehe
12/4/2015 kuanzia Asubuhi.
5) UHAMISHO
Tunatangaza kwa mara ya pili uhamisho wa Washiriki
kutoka Lugalo kwenda Makanisa mbalimbali kama ifuatavyo:-
(i) Ezekiel Kanire
–kwenda Dodoma Kati
(ii) Joyce Karigo –
Kwenda salasala
(iii) Samweli Oyugi –
Kwenda Bunju
6) WAHUDUMU KATI KATI YA WIKI
JUMATANO
|
IJUMAA
|
Pius Mtabazi
|
Barnabas Kazi
|
7)WAHUDUMU WA SABATO 18/04/2015
NAFASI
|
JINA
|
Mhubiri
|
Edson
Ngalla
|
M/kiti
|
Samweli
Silas
|
F/ kuu
|
Magesa
Mbogola
|
Sadaka
|
Joseph
Majinge
|
8)WAHUDUMU WA WATOTO 18/04/2015
NAFASI
|
JINA
|
Mhubiri
|
Penina
Mkama
|
M/kiti
|
Meshack
Kazimoto
|
F/ kuu
|
Rebecca
Mossy
|
Sadaka
|
Mercy
Dickson
|
9)MASHEMASI WA ZAMU 12 -18/04/2015
Rebecca
Mbile
|
Esther
Masero
|
Elirehema
Silas
|
Josia
Jeremia
|
10) MZEE WA ZAMU TRH 12 - 18/04/2015
STEVEN ODERO
KARANI WA ZAMU- YUTROPIA MANU
MHAZINI WA ZAMU- NEEMA ANDREW
TUMIA MITANDAO HII YA KANISA LA LUGALO KUPATA HABARI
ZA KANISA
Blogspot:-
lugalosdachurch.blogspot.com
Facebook:-Lugalo Seventh-day Adventist church
(Like/follow)
Twitter page:- @Lugalosdachurch (follow us)
No comments:
Post a Comment