|
1.UKARIBISHO:
Tunawakaribisha wageni na
wenyeji wote katika Ibada takatifu ya leo
2.WAHUDUMU
WA LEO TRH18/04/2015
NAFASI
|
LUGALO
|
Mhubiri
|
Pr S.
Wana
|
M/Kiti
|
Samweli
Silas
|
F/ Kuu
|
Magesa
Mbogola
|
Sadaka
|
Joseph
Majinge
|
3) MASHEMASI WA ZAMU 18/04/2015
Rebecca
Mbile
|
Esther
Masero
|
Elirehema
Silas
|
Josia
Jeremia
|
4)WAHUDUMU WA WATOTO 18/04/2015
NAFASI
|
JINA
|
Mhubiri
|
Penina
Mkama
|
M/kiti
|
Meshack
Kazimoto
|
F/ kuu
|
Rebecca
Mossy
|
Sadaka
|
Mercy
Dickson
|
4) MATANGAZO YA
KANISA
a).Maombi ya kila siku
J,pili Alfajiri yanaendelea, Jumapili
Saa 11:30 -12:00 Asubuhi kipindi hicho cha maombi kitaongozwa na.KAZI
BARNABAS.
b) Usomaji wa Biblia
kwa Mpango unaendelea na wiki hii
tunasoma kitabu cha Waefeso 1 – Filipi 6.
c) Wakuu wote wa Idara
wanaombwa kukutana na Mhazini wa Kanisa Mara tu ya Ibada ya leo.
d) Chama ya Dorkasi Kinawakumbusha Washiriki
wanaohitaji Kuweka Order ya chakula kila sabato wamuone Matrida Charles Kabla
ya Jumatano ghasrama ya kila Sahani ni Tshs 1500/= na Tshs 2,000/=.
e ) Kapu la Idara ya
Mashemasi litafanyika tarehe 25/4/2015 yeyote mwenye kusaidia anaombwa kuleta
vitu au fedha sabato ijayo.
f) Idara ya Vijana watakuwa na Tamasha la Michezo
litakalofanyika tarehe 26/04/2015 katika Viwanja vya Tanganyka Parkasi kuanzia
Saa 03;00 hadi Saa 11.Kwa hiyo vijana wote wanaombwa kukutana leo saa 9:00
kupanga Maandalizi.
g) Kanisa Litakuwa na Kikao chake cha Kwanza robo
hii ya pili cha Mashauri ya Kanisa Tarehe
19/04/2015 Jumapili kuanzia Saa 6:00Mchana Washiriki wote
tunaalikwa. Agenda ni:-
1. Kupitisha Budget ya
Kanisa ya Mwaka 2015.
2. Kupitisha Mipango ya Ujenzi wa Kanisa.
2. Kupitisha Mipango ya Ujenzi wa Kanisa.
3. Kupitia Uhai wa washiki
wa Kanisa.
Mwisho wa kupokea Agenda
Binafsi kutoka Washiriki ni leo saa 10:00 Ijioni Agenda zote zipelekwe kwa
Karani wa Kanisa.
h) Kwaya Kanisa imerekodi AUDIO ya Wimbo wa Albino
Siku ya Jumapili tarehe 12/4/2015.
5) TANZIA
Mshiriki wetu Mrs Nyaruga amefiwa na Kaka yake
amesafiri kwenda Musoma kwenye Mazishi tumkumbuke kwa Maombi.
6) WAHUDUMU KATI KATI YA WIKI
JUMATANO
|
IJUMAA
|
Pius Mtabazi
|
Barnabas Kazi
|
7)WAHUDUMU WA SABATO 25/04/2015
NAFASI
|
JINA
|
Mhubiri
|
Edson
Ngalla
|
M/kiti
|
Furaha
Luhambati
|
F/ kuu
|
Herman
Henyura
|
Sadaka
|
Magesa
Mbogola
|
8)WAHUDUMU WA WATOTO 25/04/2015
NAFASI
|
JINA
|
Mhubiri
|
Godfrey
Nyambita
|
M/kiti
|
Steven
Peter Mossy
|
F/ kuu
|
Ruth
Mtabazi
|
Sadaka
|
Bahati
James
|
9)MASHEMASI WA ZAMU 19 - 25/04/2015
Ambakisye
Lwesye
|
Eliya
Sospeter
|
Annagrace
Bwire
|
Esther
Masero
|
10) MZEE WA ZAMU TRH 19 -25/04/2015
GODFREY NYAMBITA
KARANI WA ZAMU- AMOSI C. MOSSY
MHAZINI WA ZAMU- EZEKIEL JOHN
TUMIA MITANDAO HII YA KANISA LA LUGALO KUPATA HABARI
ZA KANISA
Blogspot:-
lugalosdachurch.blogspot.com
Facebook:-Lugalo Seventh-Day Adventist Church
(Like/follow)
Twitter page:- @Lugalosdachurch (follow us)
Email: lugalosdachurch@gmail.com
No comments:
Post a Comment